Maelezo ya Chini
a Kuna habari nyingine ambazo hazipasi kupuuzwa: Katika nacimiento ya Mexico, mtoto anaitwa “Mtoto-Mungu” kukiwa na wazo la kwamba Mungu mwenyewe ndiye aliyekuja duniani kama mtoto. Hata hivyo, Biblia huonyesha Yesu kuwa Mwana wa Mungu aliyezaliwa duniani; hakuwa sawa wala hakutoshana na Yehova, Mungu mweza yote. Ona ukweli wa jambo hilo, unaopatikana katika Luka 1:35; Yohana 3:16; 5:37; 14:1, 6, 9, 28; 17:1, 3; 20:17.