Maelezo ya Chini
b Uhakika wa kwamba neno la Kiebrania “hekima” sikuzote huwa katika ngeli ya kike haupingani na matumizi ya hekima kuwakilisha Mwana wa Mungu. Neno la Kigiriki “upendo” katika usemi “Mungu ni upendo” liko katika ngeli ya kike pia. (1 Yohana 4:8) Hata hivyo, linatumiwa kurejezea Mungu.