Maelezo ya Chini
a Kwanza, mafunzo yalipangwa katika sehemu ambako vikundi vya watu wanaopendezwa wangeweza kukusanywa pamoja. Hata hivyo, muda si muda mafunzo pia yalifanywa na watu mmoja-mmoja au familia—Ona kichapo Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu, ukurasa wa 574, kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova.