Maelezo ya Chini
a Kulingana na kichapo Insight on the Scriptures (kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova), “funjo moja la kale laeleza kuhusu Farao mmoja aliyeagiza wanaume wenye silaha wamchukue mwanamke mrembo na kumwua mume wake.” Kwa hiyo hofu ya Abramu ilikuwa na msingi mzuri.