Maelezo ya Chini
a Mwanafunzi Stefano pia alitueleza habari ambazo hazipatikani katika kitabu kingine cha Biblia. Habari hizo zilieleza jinsi Musa alivyoelimishwa huko Misri, kwamba alikuwa na umri wa miaka 40 alipokimbia Misri, kwamba alikaa huko Midiani kwa miaka 40, na kwamba alipewa Sheria na malaika.—Matendo 7:22, 23, 30, 38.