Maelezo ya Chini
a Waandishi wa Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo hawakuhusianisha Zaburi ya 91 na unabii wa Kimesiya. Bila shaka, Yehova alikuwa kimbilio na ngome kwa mwanadamu Yesu Kristo, na katika ‘wakati huu wa mwisho,’ Yeye amekuwa kimbilio pia kwa wafuasi wa Yesu watiwa-mafuta na waandamani wao wote waliojiweka wakfu.—Danieli 12:4.