Maelezo ya Chini
b Kwenye mkutano wa Tume ya Kimataifa ya Uhuru wa Kidini uliofanywa Marekani Novemba 16, 2000, mshiriki mmoja alitaja tofauti iliyopo kati ya watu wanaojaribu kulazimisha wengine wabadili imani yao na kazi inayofanywa na Mashahidi wa Yehova. Ilisemekana kwamba Mashahidi wa Yehova wanapowahubiria watu, wanafanya hivyo kwa njia ambayo mtu anaweza kusema “Mimi sipendezwi” na afunge mlango.