Maelezo ya Chini
a Wasomi fulani hupendelea kutumia “Yahweh” badala ya “Yehova.” Hata hivyo, watafsiri wengi wa Biblia wa kisasa wameliondoa kabisa jina la Mungu kutoka kwa tafsiri zao na mahali pake wakaweka mitajo ya kawaida ya vyeo “Bwana” au “Mungu.” Kwa maelezo zaidi kuhusu jina la Mungu, tafadhali ona broshua Jina la Mungu Litakaloendelea Milele, iliyochapishwa na Mashahidi wa Yehova.