Maelezo ya Chini
a Ingawa Josephus anaonyesha kwamba Wayahudi waliheshimu vitu vitakatifu, yeye aliirudia sheria ya Mungu kwa kusema hivi: “Mtu yeyote na asikufuru miungu ambayo majiji mengine huabudu, wala kupokonya mahekalu ya kigeni, wala kuchukua vitu vya thamani ambavyo vimewekwa wakfu kwa mungu yeyote yule.” (Italiki ni zetu.)—Jewish Antiquities, Kitabu cha 4, sura ya 8, fungu la 10.