Maelezo ya Chini
b Dathani na Abiramu ambao walikula njama pamoja na Kora walikuwa wana wa Reubeni. Kwa hiyo, inaonekana hawakutamani ukuhani. Wao walichukia tu uongozi wa Musa, na kwamba kufikia wakati huo taraja lao la kuingia katika Bara Lililoahidiwa halikuwa limetimizwa.—Hesabu 16:12-14.