Maelezo ya Chini
a Yehova alipowachagua Musa na Aroni wakazungumze na Farao kwa niaba ya watu wake, Yeye alimwambia Musa hivi: ‘Nimekufanya wewe kuwa kama Mungu kwa Farao; na huyo ndugu yako Haruni atakuwa nabii wako.’ (Kutoka 7:1, italiki ni zetu.) Aroni alitumikia akiwa nabii, si kwa kutabiri mambo ya wakati ujao, bali kwa kuwa msemaji wa Musa.