Maelezo ya Chini
b Wengi wa mamilioni ya watu waliohudhuria Mlo wa Jioni wa Bwana unaoadhimishwa kila mwaka na ambao ulifanywa MachiĀ 28, 2002, hawamtumikii Yehova. Twasali kwamba hivi karibuni mioyo ya watu hao wengi wenye kupendezwa itawachochea wapige hatua na kufikia pendeleo la kuwa watangazaji wa habari njema.