Maelezo ya Chini
a Wakristo wanapaswa kufanya amani kulingana na ushauri wa andiko la Mathayo 5:23, 24. Ikiwa jambo hilo linahusu dhambi nzito, wanapaswa kujaribu kumpata ndugu yao kama inavyoelezwa katika andiko la Mathayo 18:15-17. Ona gazeti Mnara wa Mlinzi la Oktoba 15, 1999, ukurasa wa 17-22.