Maelezo ya Chini
b Andiko la Yeremia 38:19 linaonyesha kwamba Wayahudi kadhaa ‘waliwakimbilia’ Wakaldayo kwa hiyo hawakuuawa bali walipelekwa uhamishoni. Hatujui iwapo walisalimu amri kwa kutii maneno ya Yeremia. Hata hivyo, kuokoka kwao kulithibitisha maneno ya nabii huyo.