Maelezo ya Chini
a Kwa kawaida, mtu mwenye kupendezwa anayejifunza broshua Anataka atajifunza kitabu Ujuzi Uongozao Kwenye Uhai Udumuo Milele, baada ya kumaliza broshua hiyo. Vichapo vyote viwili vimechapishwa na Mashahidi wa Yehova. Madokezo yaliyotolewa hapa yatasaidia kuondoa mambo yoyote yanayoweza kumzuia mtu asifanye maendeleo ya kiroho.