Maelezo ya Chini
a Kielezi-chini kwenye Mwanzo 2:17 katika tafsiri ya The Jerusalem Bible kinaeleza “ujuzi wa mema na mabaya” kuwa “uwezo wa kuamua . . . yaliyo mema na yaliyo mabaya kisha kutenda kulingana na uamuzi huo, yaani, dai la kuwa huru kabisa kujiamulia yaliyo mema na yaliyo mabaya na hivyo kukataa kutambua kwamba uliumbwa.” Kinaongeza kusema: “Dhambi ya kwanza ilikuwa ni shambulio dhidi ya haki ya Mungu ya kutawala.”