Maelezo ya Chini
b Kwa mfano, ili kutafakari kwa sala sehemu fulani uliyosoma katika Biblia, unaweza kujiuliza hivi: ‘Je, sehemu hii inafunua sifa moja au sifa zaidi za Yehova? Inahusianaje na kichwa cha Biblia? Ninawezaje kuitumia maishani mwangu au kuitumia kuwasaidia wengine?’