Maelezo ya Chini
a Baadaye ilidhihirika kwamba Eliabu hakuwa na sifa zinazofaa kuwa mfalme wa Israeli hata ingawa alikuwa na sura nzuri. Eliabu pamoja na Waisraeli wengine walijikunyata kwa woga wakati jitu la Wafilisti, Goliathi, lilipowaita Waisraeli wakapigane.—1 Samweli 17:11, 28-30.