Maelezo ya Chini
d Magazeti hayo yanayozungumzia Biblia hayapendekezi matibabu fulani hususa, kwa kuwa yanatambua kwamba huo ni uamuzi wa mtu binafsi. Badala yake, makala zinazozungumzia magonjwa hususa zimekusudiwa kuwaarifu wasomaji habari zinazojulikana kwa sasa kuhusu magonjwa hayo.