Maelezo ya Chini
a Hali zinapokuwa ngumu kupita kiasi wenzi wa ndoa wanaweza kuwa na sababu halali ya kutengana. (1 Wakorintho 7:10, 11; ona kitabu, Siri ya Kupata Furaha ya Familia, ukurasa wa 160-161, kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova.) Zaidi ya hayo, Biblia huruhusu talaka kwa sababu ya uasherati.—Mathayo 19:9.