Maelezo ya Chini
a Wakiwa nyikani, Waisraeli na “kundi kubwa la watu waliochangamana” walihitaji mana ili kuendelea kuwa hai. (Kutoka 12:37, 38; 16:13-18) Vivyo hivyo, ili kuishi milele, ni lazima Wakristo wote, wawe watiwa-mafuta au la, wakubali mana kutoka mbinguni kwa kuonyesha imani katika nguvu ya kukomboa ya mwili na damu ya Yesu iliyotolewa dhabihu.—Ona gazeti la Mnara wa Mlinzi la Februari 1, 1988, ukurasa wa 30-31.