Maelezo ya Chini
a Matukio ya miaka ya 1960 yalikuwa mwanzo tu wa mfululizo wa mnyanyaso wa kikatili ambao ungewapata Mashahidi nchini Malawi kwa miaka karibu thelathini. Kwa habari kamili, ona kitabu 1999 Yearbook of Jehovah’s Witnesses, ukurasa wa 171-212.