Maelezo ya Chini
a Baadhi ya Biblia za zamani kama vile Union Version, humalizia Sala ya Bwana kwa maneno haya ya kumsifu Mungu: “Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.” Kichapo The Jerome Biblical Commentary kinasema: “Maneno hayo ya kumsifu Mungu . . . hayapatikani katika [hati] zenye kutegemeka zaidi.”