Maelezo ya Chini
c Biblia yenyewe inaonyesha kwamba Yerusalemu lilianguka miaka 70 kabla ya wahamishwa Wayahudi kurudi mwaka wa 537 K.W.K. (Yeremia 25:11, 12; Danieli 9:1-3) Kwa habari kamili kuhusu “nyakati zilizowekwa za mataifa,” ona kitabu Kutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko, ukurasa wa 308-310, kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova.