Maelezo ya Chini
a Katika karne ya kwanza W.K., Mlawi Barnaba aliuza shamba alilomiliki, naye akatoa pesa alizopata ili kuwasaidia wafuasi wa Kristo wenye uhitaji huko Yerusalemu. Huenda shamba hilo lilikuwa ama Palestina ama Kipro. Au inawezekana kwamba hicho kilikuwa tu kiwanja cha kuzikia ambacho Barnaba alikuwa amenunua katika eneo la Yerusalemu.—Matendo 4:34-37.