Maelezo ya Chini
b Ingawa Wakristo wa kweli wanatambua kwamba mara nyingi tawala za kibinadamu zinatenda kama wanyama, wao hujitiisha kwa “mamlaka zilizo kubwa” za kiserikali kama wanavyoagizwa na Biblia. (Waroma 13:1) Hata hivyo, mamlaka hizo zinapowaamuru watende kinyume cha sheria za Mungu, wao ‘humtii Mungu kuwa mtawala kuliko wanadamu.’—Matendo 5:29.