Maelezo ya Chini
b Wakati mmoja, Paulo na Wakristo wengine wanne walienda hekaluni ili kujitakasa kisherehe. Ingawa Sheria haikuwa halali tena, Paulo alifuata shauri la wanaume wazee huko Yerusalemu. (Matendo 21:23-25) Hata hivyo, huenda Wakristo fulani walihisi kwamba hawangeenda hekaluni wala kujitakasa kisherehe. Dhamiri zilitofautiana wakati huo, na bado hutofautiana leo.