Maelezo ya Chini
a Kitabu kimoja cha marejeo kinaonyesha kwamba Yesu alisema, “kuwabatiza . . . kuwafundisha,” bali si ‘kuwabatiza na kuwafundisha.’ Hivyo, katika amri ya kubatiza na kufundisha ‘si lazima mambo hayo mawili yafuatane.’ Bali, “kufundisha ni tendo linaloendelea, ambalo kwa kadiri fulani hutangulia na kufuata ubatizo.”