Maelezo ya Chini
b Maandishi mengine katika Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo pia yanaonyesha kwamba Yesu ndiye Mtiwa-Mafuta wa Mungu anayetajwa katika zaburi ya pili. Jambo hilo linakuwa wazi tunapolinganisha Zaburi 2:7 na Matendo 13:32, 33 na Waebrania 1:5; 5:5. Ona pia Zaburi 2:9 na Ufunuo 2:27.