Maelezo ya Chini
a Kila moja ya taarifa hizo tisa za Yesu inaanza kwa neno la Kigiriki ma·kaʹri·oi. Badala ya kutafsiri neno hilo kuwa “wabarikiwa,” kama tafsiri nyingine zinavyofanya, Tafsiri ya Ulimwengu Mpya na tafsiri nyinginezo, kama vile The Jerusalem Bible na Today’s English Version, hutumia neno lililo sahihi zaidi ambalo ni “furaha.”