Maelezo ya Chini
a Katika kitabu The Geography of the Bible, Denis Baly anasema: “Lazima aina ya mimea iliyokuwako nyakati za Biblia iwe ilibadilika sana.” Kwa sababu gani? ‘Kwa kuwa wanadamu walihitaji miti kwa ajili ya kuni na ujenzi, walianza kukata miti na hivyo kufanya nchi iathiriwe na uharibifu unaotokana na hali ya hewa. Pole kwa pole, ukataji huo wa miti ulifanya hali ya hewa iwe kisababishi kikuu cha uharibifu huo.’