Maelezo ya Chini
a Mtunga-mashairi Mroma Horace (65—8 K.W.K.), aliyesafiri katika njia hiyohiyo, alieleza kuhusu magumu ya sehemu ya mwisho ya safari hiyo. Horace alisema kwamba Soko la Apio lilikuwa “limesongamana na wenye mashua na wenye mikahawa wachoyo.” Alilalamika kuhusu “chawa na vyura waliolaaniwa” na maji “mabaya sana.”