Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Kuhusu urefu wa wakati wa kipindi cha Unadhiri, mtu aliyeweka nadhiri ndiye aliyeamua muda ambao angeendelea kuwa chini ya nadhiri hiyo. Hata hivyo, kulingana na mapokeo ya Wayahudi, mtu hangeweza kuweka nadhiri kwa muda unaopungua siku 30. Ilifikiriwa kwamba kuweka nadhiri kwa muda unaopungua siku 30 kungeifanya ionekane kuwa jambo la kawaida tu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki