Maelezo ya Chini
a Huenda Yohana, mwana wa Zebedayo alimfuata Yesu na kushuhudia baadhi ya mambo aliyofanya baada ya kukutana naye mara ya kwanza, na hivyo kumwezesha Yohana kuyaandika mambo hayo waziwazi katika masimulizi yake ya Injili. (Yohana, sura ya 2-5) Hata hivyo, alirudia biashara ya familia yao ya uvuvi kwa muda fulani kabla ya kuitwa na Yesu.