Maelezo ya Chini
a Neno “miujiza” kama linavyotumiwa katika makala haya linafafanuliwa hivi katika kamusi mmoja ya Biblia: “Matokeo katika ulimwengu halisi ambayo hupita nguvu za kibinadamu au za kiasili zinazojulikana na kwa hiyo huonwa kuwa yanasababishwa na nguvu zipitazo za kibinadamu.”