Maelezo ya Chini
a Kuhusu nafsi, kichapo The Jewish Encyclopedia cha mwaka wa 1910 kinasema hivi: “Imani ya kwamba nafsi inaendelea kuishi baada ya mwili kuoza ni fundisho la kifalsafa au makisio ya kidini bali si imani ya msingi, na hakuna mahali linapofundishwa katika Maandiko Matakatifu.”