Maelezo ya Chini
b Biblia haitaji ‘mwiba ambao Paulo alikuwa nao katika mwili.’ Huenda alikuwa na tatizo fulani la afya, labda macho yake hayakuona vizuri. Au huenda maneno “mwiba katika mwili” yakamaanisha mitume wa uwongo na wengine ambao walipinga huduma na utume wa Paulo.—2 Wakorintho 11:6, 13-15; Wagalatia 4:15; 6:11.