Maelezo ya Chini
b Alijua vizuri lugha ya Kiarabu, Kigiriki, Kiebrania, Kilatini, na lugha ya Syriac, lugha tano kubwa ambazo zilitumiwa katika tafsiri ya Biblia hiyo ya Polyglot. Alikuwa stadi katika uchunguzi wa vitu vya kale, tiba, sayansi ya mambo ya asili, na theolojia, naye alitumia ustadi huo vizuri katika kutayarisha nyongeza ya Biblia hiyo.