Maelezo ya Chini
a Tafsiri fulani za Biblia zimebadili “kipimo cha mkono mmoja” katika mstari huo kuwa kipimo cha wakati, kama vile, “muda” (Biblia Habari Njema) au “saa moja” (Neno—Agano Jipya). Hata hivyo, neno la awali lililotumiwa linamaanisha kihalisi kipimo cha mkono mmoja, ambacho kilikuwa na urefu wa sentimeta 45 hivi.