Maelezo ya Chini
b Vivyo hivyo, ili kueleza uhusiano mpya kati ya Mungu na “wana” wake waliotiwa mafuta kwa roho, Paulo alitumia wazo la kisheria lililojulikana sana na wasomaji wake katika Milki ya Roma. (Waroma 8:14-17) Kulingana na kitabu kimoja (St. Paul at Rome), “Waroma walikuwa na desturi ya kuwachukua watu wazima au watoto wa watu wengine na kuwafanya kuwa wana wao, nayo ilipatana sana na maoni yao kuhusu familia.”