a Kulingana na kitabu kimoja (Encyclopaedia Judaica), wakulima Waisraeli walipendelea mizabibu iliyozaa zabibu za zambarau zinazojulikana kama sorek. Yaelekea aina hiyo ya mizabibu ndiyo inayozungumziwa katika Isaya 5:2. Zabibu hizo zilitokeza divai tamu nyekundu.