Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Mfalme Daudi wa Israeli la kale aliiteka ngome ya Mlima Sayuni wa kidunia kutoka kwa Wayebusi na kuifanya kuwa jiji lake kuu. (2 Samweli 5:6, 7, 9) Pia, alilipeleka Sanduku takatifu huko. (2 Samweli 6:17) Kwa kuwa Sanduku lilihusianishwa na kuwapo kwa Yehova, Sayuni liliitwa mahali pa makao ya Mungu, nalo linafaa kabisa kuwakilisha mbinguni.—Kutoka 25:22; Mambo ya Walawi 16:2; Zaburi 9:11; Ufunuo 11:19.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki