Maelezo ya Chini
b Wakati mikate miwili iliyotiwa chachu ilipotolewa kama toleo la kutikisa, mara nyingi kuhani aliibeba mikate hiyo kwenye viganja vyake, kisha akainua mikono yake na kuipeleka mikate hiyo huku na huku. Tendo hilo la kutikisa lilifananisha kutolewa kwa vitu vilivyotolewa dhabihu kwa Yehova.—Ona Insight on the Scriptures, Buku la 2, ukurasa wa 528 au Étude Perspicace des Écritures, Buku la 2, ukurasa wa 850, lililochapishwa na Mashahidi wa Yehova.