Maelezo ya Chini
a Wanaume hawa walisaidia sana katika uchunguzi wa lugha za awali za Biblia. Mwaka wa 1506, Reuchlin alichapisha sarufi yake ya Kiebrania, ambayo iliongoza kwenye uchunguzi wa ndani zaidi wa Maandiko ya Kiebrania. Erasmus alichapisha maandishi yaliyochunguzwa kwa makini ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo katika mwaka wa 1516.