Maelezo ya Chini
a Biblia inaita kitovu hicho cha ibada ya kweli “hekalu” la Yehova. Lakini katika kipindi hiki cha historia ya Waisraeli, sanduku la agano bado liko katika hema, au maskani. Hekalu la kwanza la kudumu la Yehova litajengwa wakati wa utawala wa Mfalme Sulemani.—1 Samweli 1:9; 2 Samweli 7:2, 6; 1 Wafalme 7:51; 8:3, 4.