Maelezo ya Chini
a Zoea la mke mmoja kuwa na waume wengi wakati uleule, halikukubaliwa huko Ugiriki na Roma nyakati za mitume. Kwa hivyo, haielekei kwamba Paulo alikuwa akimwandikia Timotheo kuhusu zoea hilo wala hakuwa akimshutumu mtu yeyote mwenye zoea hilo.