Maelezo ya Chini
a Msomi wa Biblia Albert Barnes alitambua kwamba agizo la Yesu la ‘kuliambia kutaniko’ lingemaanisha “wale ambao wamepewa mamlaka ya kusikiliza kesi kama hizo, yaani, wawakilishi wa kanisa, au wale wanaotenda kwa ajili yao. Katika sinagogi la Wayahudi kulikuwa na wazee ambao walikuwa waamuzi, na kesi za aina hiyo zililetwa mbele yao.”