Maelezo ya Chini
c Ili astahili kupata mapendeleo katika kutaniko la Kikristo, mwanamume hapaswi kuwa “mwenye kupiga watu,” yaani, kuwapiga kihalisi au kwa maneno. Hivyo, gazeti la Mnara wa Mlinzi la Septemba 1, 1990 (1/9/1990), linasema hivi katika ukurasa wa 25: “Ikiwa amefunga ndoa, mwanamume hastahili ikiwa atenda kwa njia ya kimungu mahali penginepo lakini ni mbabe nyumbani.”—1 Timotheo 3:2-5, 12.