Maelezo ya Chini
a Waamoni walikuwa wakatili sana. Baada ya miaka isiyozidi 60, walitisha kwamba wangeng’oa jicho la kuume la kila mkaaji wa jiji moja la Gileadi ambalo walishambulia. Nabii Amosi alitaja kwamba wakati fulani waliwapasua wanawake wenye mimba wa Gileadi.—1 Samweli 11:2; Amosi 1:13.