Maelezo ya Chini
a Jina la awali la malaika huyo aliyekuja kuwa Shetani halijulikani. Majina “Shetani” na “Ibilisi” yanamaanisha “Mpinzani” na “Mchongezi.” Kwa njia fulani, Shetani alitenda kama mfalme wa zamani wa Tiro. (Ezekieli 28:12-19) Wote wawili walikuwa na mwanzo mzuri lakini wakashawishiwa na kiburi chao wenyewe.